Wednesday, May 30, 2012
WEB DESIGN IS SO SWEETY WHEN U UNDERSTANDS IT ,NOT ONLY THAT BT ALSO HAVING AGOOD TEACHER
Ure welcome we practise web design together so 4anyone who wish to know all about web designing ure welcome ts ure tyme ,you just visit me,and you will enjoy as me,so happy n so wonderful that is web deign.
APPRECIATE BEING ARE INNOVATIVE STUDENT;
Hellow alwayz u have to appreciate what u have done doesnt matter how many will like or appreciate ure work,As ure tryn to do practise.never give up what u have done shows that ure creative enough.
Wednesday, May 23, 2012
WAPENDA MECHI MATOKEO YAKE YAPO HIVI HUKU UHASIBU
Vijana wa Uhasibu wacheza na Arusha University
matokeo yalikuwa namna hii wavulana wa Uhasibu waibuka kidedea kwa goal 4,wakati wavulana wa Arusha University waaambulia kichapo kwa goal 1 walilobahatisha .magoal ya uhasibu yalifungwa na ally dk ya 7 kipindi cha kwanza akifuatiwa na roger dk 43 kipind cha kwanza baaada ya mapumziko vijana hao walionekana kung'ara tena kwa kuongeza magol mengine mawil.
IT WAS SO MARVELOUS TO UHASIBU MEMBERS,
by sportlady lololo.chochoo.iaa.uk
matokeo yalikuwa namna hii wavulana wa Uhasibu waibuka kidedea kwa goal 4,wakati wavulana wa Arusha University waaambulia kichapo kwa goal 1 walilobahatisha .magoal ya uhasibu yalifungwa na ally dk ya 7 kipindi cha kwanza akifuatiwa na roger dk 43 kipind cha kwanza baaada ya mapumziko vijana hao walionekana kung'ara tena kwa kuongeza magol mengine mawil.
IT WAS SO MARVELOUS TO UHASIBU MEMBERS,
by sportlady lololo.chochoo.iaa.uk
HELLOW HELLOW KWA WALE WALA BATA WENZANGU!
Wakati ndo huo wa kutafuta MISS n MR; IAA kwa wale warembo wenye vigezo kazi kwenu itakuwa ni trh 25 may 2012 paaaaaaleee matongee;mpango mzma ooh mama men karibun 2jirushe
WANAFUNZI WA UHASIBU WAVAMIWA NA MAJAMBAZI
jaman jaman u know what inaogopesha ,huku kwetu arusha majambazi wavamia hostel na kupora laptop zetu uuuuuuuuuuuuuuuuuu!unataka kujua wameingiaje? wanamapanga yanang"aaaaaaa hata kama huna laptop utakoma .,bad enough kama una simu ya toch hauna simu ya ukweeee!utaaambulia kipigo kikali cha ubapa wa panga!oooooooooooooh xo bad
Subscribe to:
Comments (Atom)


